Diamond aeleza kwanini ameachia nyimbo mbili mara moja

Diamond amemshirikisha Tiwa Savage kutoa wimbo mpya unaoitwa ‘Fire’. Ameachia wimbo nyingine pia  ‘I Miss You’ wakati huo huo.

Katika mahojiano na kipindi cha XXL ya Clouds FM, Diamond alisema kuwa alitaka kutangaza kwa redio kuwa anatoa nyimbo mbili badala ya mashabiki wake kuenda YouTube na kushangaa kuwa ameachia nyimbo mbili wakati walikua wanatajaribia wimbo moja.

download latest music    

“Siku ya muziki leo duniani… hapo mwanzo tulikua tunatoa wimbo moja alafu mtu akienda YouTube anashangaa kuna nyingine. Mi naweza sema tu kwanini nisitoe zote hapa badala mtu kuenda kuskia kule,” Diamond alisema.

Tazama nyimbo zake hapo chini:

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere