Diamond aeleza kwanini hajawai achia collabo na Zari

Je, unajua kuwa Zari Hassan alikua mwimbaji kabla ya kukutana na Diamond? Mashabiki wa Zari walitaka kujua kwanini Diamond hajamsaidia Zari kufanikiwa kimuziki kama anavyowasaidia wasanii wengine.

Akihojiwa katika kipindi cha the Trend ya NTV ya Kenya, Diamond alieleza kwanini hajampiga jeki mkewe kimuziki; swali hizo liliulizwa na mwanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi.

download latest music    

Simba alisema kuwa Zari alikuwa ashawacha kuimba walipokutana, alieleza kuwa kama Zari bado angekua mwimbaji labda hawagekuwa pamoja kwasababu ya songombingo ya muziki.

Tazama video hapo chini uone mahojiano yote:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere