Diamond Afikishwa Polisi Baada Ya Video Yake Kuvuja Mtandaoni

Mwanamuziki wa Bongo fleva Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz amefikishwa polisi jana kwa ajili ya mahojiano baada ya kusambaa kwa video zake zisizo na maadili katika mitandao ya kijamii.

Jamiiforum wnaripoti kuwa hayo yalisemwa na Waziri wa habari, Michezo, Utamaduni na sanaa Dr.  Harrison Mwakyembe akiwa bungeni wakati akijibu swali juu ya kanuni za maudhi ya Mitandaoni aliloulizwa na Mbunge Goodluck Mlinga.

download latest music    

Aidha Dkt. Mwakyembe amesema Msanii Faustina Charles (Nandy) naye atahojiwa na Polisi kufuatia video yake ya faragha akiwa na Msanii mwenzake Billnass kusambaa mitandaoni.

Waziri Mwakyembe amesema kwa sasa wanaangalia  taratibu za kuwafikisha mahakamani.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.