Diamond Amliza Nisha Bebe.

Msanii wa muziki nchini Diamond Platinumz amemtoa machozi mwanadada Nisha baada ya kusikiliza wimbo wak wa sikomi.

Nisha amepost  video katika ukurasa wake wa instagram akiwa anasikiliza wimbo wa Sikomi huku akitoa machozi kama ambavyo wimbo huo umekuwa ukitoa maudhui ya majonzi kwa mtu aliyeumizwa na mapenzi.

download latest music    

Nisha ni moja ya wasanii wa kike ambao mara nyingi wamekuwa wakilalamika sana kuuumizwa na mapenzi tena kwa kukimbiwa na wapenzi wao na kwenda kutoka na watu wengine.

Hivi karibuni , Nisha aliingia katika mgogoro na Snura baada ya kusemekana kuwa Snura alimuibia aliyekuwa mpenzi wake nisha kwa makusudi huku akijua kabisa kuwa ni mpenzi wa Nisha.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.