Diamond Amwagia Sifa Kibao Vanessa Mdee

Msanii wa bongo fleva Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ameibuka na kumwagia sifa kibao msanii mwenzake Vanessa Mdee na kudai ni mpambanaji sana.

Diamond alifunguka hayo baada ya Vanessa kuwekwa na Wasafi Tv kama Women Crush Wednesday ambapo walimshukiru mchango wake katika Bongo fleva.

download latest music    

Diamond aliandika hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo alifunguka kwa kumtumia ujumbe huu wa shukrani Vanessa:

Vanessa ni moja kati ya waaanii wa kike Kwenye Bongo fleva anayefanya vizuri sana kitaifa na kimataifa na hata albamu yake ya Money Mondays aliyotoa mapema mwaka huu bado inafanya vyema.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.