Diamond aomboleza kifo cha mama mkwe wake

Zari alimpoteza mama yake mzazi Halima Hassan ambaye aliaga dunia mapema leo Julai 20 akipata matibabu katika hospitali jijini Kampala.

Mama mkwe wa Diamond Platnumz alilazwa Nakasero Hospital kwa takribani wiki tatu hivi, alikua anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo.

download latest music    

Wiki chache zilizopita, Diamond alizomewa na mashabiki wa Zari kwa kukosa kumtembelea mama mkwe wake hospitalini alikokuwa amelazwa.

Diamond na Zari na mama zao

Diamond ata hivyo ameomboleza kifo cha mamake Zari. Staa huyo wa Wasafi aliomba Mungu aweke roho yake marehemu mahali pema peponi.

“Mwenyez Mungu ailaze Roho yako Mahali Pema Peponi Amini….” Diamond aliandika.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere