Diamond apigwa busu la kilazima na shabiki Rwanda

Diamond Platnumz alishambuliwa na shabiki mwanamke ambaye alimpiga busu la kilazima na kumpapasa akiwa kwa stage Kigali.

Hit maker huyo wa ‘Fire’ alikua Rwanda akiwatumbuiza mashabiki wake katika tamasha la Rwanda Fiesta ambalo lilifanyika jijini Kigali Jumapili iliyopita.

download latest music    

Tukio la shabiki kumbusu Diamond lilifanyika baada ya muimbaji huyo kuwaita mabinti warembo ambao wako na makalio nzito nzito kwa stage ii wacheze na yeye alipokua akiimba wimbo wake ‘Nasema Nawe’.

Mrembo aliyempiga busu la kilazima na kumpapasa Diamond alikua miongoni mwa wanadada ambao walikua kwa stage wakitingiza makalio zao.

Tazama video hapo chini:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere