Diamond Athibitisha Kumnunulia Mjengo Hamisa

Staa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz amethibitisha tetesi zilizokuwa zinasambaa mtandaoni kuwa amemnunulia mjengo kama watoto wake Hamisa.

Baada ya Diamond kuachana na Zari na Kurudisha majeshi kwa Hamisa imekuwa ikisemekana kuwa Hamisa amehama alipokuwa anaishi na kuhamia kwenye mjengo mpya kabisa na mtoto wake Dylan na Fantasy.

download latest music    

Taarifa zilisambaa kuwa mjengo wenyewe ni ghorofa  ambalo ni bonge wa mjumba ambao upo maeneo ya Mbezi Beach, Bahari Beach.

Diamond amethibitisha taarifa baada ya kuandika Instagram na Hamisa kujibu kwa kumshukuru kwa nyumba hiyo:

 

Hii sio mara ya kwanza kwa Diamond kununua Nyumba kwa ajili ya wanafamilia wake kama utakumbuka ameshawahi kumnunulia nyumba mama yake mzazi Lakini pia ameshamnunulia nyumba mzazi mwenzake Zari nchini South Africa.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.