Diamond Athibitisha Kushusha Mjengo Mwingine Afrika Ya Kusini

Staa wa muziki wa Bongo fleva ambaye anafanya vyema hivi sasa na ngoma  yake ya ‘Jibebe’ (I Like It) ameweka wazi kuwa ana mpango wa kuongeza Mjengo mwingine nchini Afrika ya kusini.

Diamond ambaye tayari anamiliki nyumba moja nchini Sauzi ambayo inatajwa kuwa na thamani Dola za kimarekani 500,000 $ ambazo ni sawa na shilingi 1,143,700,000 za Kitanzania.

download latest music    

Diamond amethibitisha taarifa Kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo ameandika:

Still in love with my first South Africa house…. adding the new house in here before end of the year”.

Diamond tayari ana mijengo kadhaa nchini lakini pia nyumba yake ya South Africa ndiyo anayoishi mama watoto wake Zarinah Hassan maarufu kama Zari The Bosslady pamoja na watoto wake.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.