Diamond Atishia Kuhama Nchi.

Msanii Diamond Platinumz aliwahi kusikika kuwa katika maisha yake ya muziki amekuwa akiona kila mara anatishiwa kufanya uchaguzi wa kazi zake kitu ambacho kimekuwa kikimbana sana kufanya kazi kwa uhuru.

Msanii huyo aliwahi kusikika siku moja katika video ambayo kwa sasa imessmbaa sana katika mitandao ya kjamii kuwa kama wataendelea kumfungia hivi basi atafanya uamuzi wa kuhama nchi na kuhamia nchi ambayo anaona kuwa atakuwa huru zaidi na kufanya show kama anavyotaka.

download latest music    

Ikumbukwe kuwa siku zilizopita , Diamond na msani mwenzake rayvanny wote kutoa lebo ya WCB , walipokea taarifa za kufungiwa kazi za muziki kwa muda usiojulikana kwa sababu ya kuimba wimbo wa mwanza  ambao ulishakatazwa na BASATA.

MAONI YA MASHABIKI : Inaonekana kuwa diamond amekuwa akitumia nafasi yake kubwa aliyonayo katika jamii kuvunja maadili kwa sababu tu anamchango mkubwa katika jamii yake, lakini ukweli utabaki kuwa hakuna aliye nje ya sheria ya tanzania hivyo inampasa kufuata tu sheria.

Ukiachana na kazi zake kukosa maadili, lakini pia ilitokea majibizano na viongozi hata na watu wakubwa huku msanii huyo akionekana kutojali hata hisia za mashabiki zake.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.