Diamond Auanika Mjengo Wake Mpya Wa Mabilioni

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz ameanika hadharani kwa mara ya kwanza Mjengo wake unaotajwa kuwa na tahamani ya shilingi Bilioni 2.

Siku ya jana ilikuwa sherehe ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Diamond

download latest music    

Msanii alikuwa kwenye show yake nchini Zambia hivyo baada ya kurejea ameweza kutumia akaunti yake ya instagram kupitia insta stori kutuonyesha nyumba yake mpya akiwa na wasanii wenzake wa WCB.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.