Diamond Awaomba Wazazi Wenzie Kutoweka Matabaka kati ya Watoto Wao.

Msanii Diamond Platinums  hivi karibuni amekuwa akisistiza sana familia yake kuwa na upendo na amani ili kuondoa matabaka kati ya afmilia zake na hasa upande wa watoto wake ambao amezaa na wanawake tofauti.

Kwa kukumbuka hivi juzi katika kumtakia sikukuu ya kuzaliwa mama yake diamond alimuomba mama yake kuacha kuwabagua watoto wake na kuwapenda wajukuu zake wote kama vile yeye anavyowapenda kwa sababu anajua kuwa ni damu yake.

download latest music    

Lakini pia hakuacha kuwa nyumba hivi karibuni kuzngumza na wazazi wa watoto hao ( zari na hamisa0 kuwa anawaomba watoto wake wapendane na watu wa kuwaunganisha ni wao sio watu wengine.Diamond anawashukuru kutokana na wamama hao kuwa na malezi mazuri kwa watoto wao lakini sasa ana sisitiza upendo.

Nawashukuru wazazi wenzangu wanalea watoto vizuri lakini pia tumekuwa tukishirikiana sana katika kuakikisha hilo,pia tu nataka niwaombe kwamba wajitahidi sana wasitengeneze chuki baina ya watoto wa huku na wa huko.na mimi kama mzazi ninawapenda watoto wangu wote na at the end of the day we are familiy.

Daimond ansema kuwa inapotokea kuna kitu chochcote katika familia hizi mbili basi ni lazima kuwe na ushirikiano na  mahudhurio mazuri kwa pande zote mbili sio mwingine anakuwepo hapa mwingine hayupo.

huwezi jua nani atakuwa nai kesho kwaio ukisiaki leo kuna birthday ya huyu  na huyu yupo na yule yupo , wasitengeneze matabaka kati yao na ninawashukuru sana na nina waombea kwa mwenyezi mungu waendelee kuwa na moyo huo huo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.