Diamond Awaonya Wasanii Watoa Rushwa

Msanii Diamond Platnumz ambae ni bos wa televiesheni ya wasafi ambae pia ni meneja wa ebo ya WCB amefunguka na kuwaonya wasanii ambao wamekuwa wakitoa pesa kwa ajili ya kutaka kupata nafasi za nyimbo zao kupigwa kati atv yake.

Diamond anasema kuwa kwa uande wake alishasema kabisa kuwa kila anaeleta nyimbo yake katika Tv hiyo basi itapigwa lakini kama kuna mtu anakuwa akitaka kutoa pesa ili aweze kupewa muda mwingi wakati kazi yake sio nzuri kuliko wengine basi huyo hana nafasi katika Tv hiyo.

download latest music    

Akiongea katika mkusanyiko mkubwa wa wasanii uliofanyika jana, baada ya mkuu wa mkoa kukutana na wasanii kuzungumzia changamoto za wasanii wa bongo movie , Diamond anasema kuwa tv yake ni bure kabisa na hakuna haja ya kutoa pesa.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.