Diamond Awapa Ujumbe Huu Watoto Wake

Mwanamuziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz ameendelea kukaa kwenye headlines za mitandao ya kijamii tena kwa siku ya leo baada ya kumpost mtoto wake aliyezaa na Hamisa.

Tangu Diamond Akiri kuzaa na Hamisa miezi michache iliyopita Kumekuwa na sintofahamu kwenye familia yake kwani watu mbali mbali wamekuwa wakimlaumu kwa kupendelea watoto wake wawili aliozaa na Zari na kumtelekeza mtoto aliyezaa Na Hamisa.

download latest music    

Siku ya leo Diamond kamuweka kwenye ukurasa wake wa Instagram mtoto wake aliyezaa na Hamisa anayeitwa Dylan lakini pia kamuweka na Nillan aliyezaa na Zari na kuwaandikia ujumbe huu:

Pamoja na uzuri mlioenda kurithi kutoka kwa mama zenu halafu mkaenda kuniletea wakwe vijuso….dah mtanisikitisha sana…”.

 

Lakini ni pia siku ya jana familia ya Diamond ilionekana ikimposti Dylan tangu azaliwe ambapo dada wa Diamond, Esma Platnumz alimuweka Dylan na watoto wake pamoja na watoto wa Zari:

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.