Diamond kwa Zari apindui, Ningetaka Kurudi WCB Ningeongea na Zari.:-Kifesi

Aliyewahi kuwa mpiga picha maarufu wa diamond platinumz, kifesi amefunguka na kusema kuwa endapo angekuwa anataka kurudi WCB basi wala isingekuwa shida kwake kwa sababu alikuwa na uwezo wa kuongea na zari na angeweza kurudi kazini.

Kifesi anasema kuwa yeye ndie aliyekuwa mtu aliyekuwa akisikilizwa sana na  diamond na zari pia hivyo kwake isingekuwa kazi kufanya hivyo kwa diamond latinumz.

download latest music    

Kwa kujiamini kabisa kifesi anasema kuwa kama angeweza kuongea na zari wala hasingepata shida kwa sababu zari angemwambia diamond kuwa kama anataka kurudiana nae basi amsamehee yeye.

Diamond hapindui kwa zari, ningeweza kuongea na zari nikamwambia kuwa hii kazi mimi nimefukuzwa na ingekuwa rahisi kwa zari kwa sababu ni dada yangu,na angeweza hata kumwambia kuwa kama unataka kurudiana na mimi basi msamehe kifesi.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.