Diamond na Familia Yake Wagusa Familia Nyingi Siku ya Eid
Msanii mkubwa wa bongo fleva Diamond Platinumz wikiend iliyopita alifanya jambo lilioshukuriwa na watu wengi baaada ya kukusanyika na familia nyingi katika mtaa alikulia jijin dar huko tandale na kutoa mkono wa Eid kwa kila aliefika nyumbani kwao hapo.
Diamond na familia yake na watu kutoka ofisini kwao waliamua kufanbya hivyo ikiwa i moja ya njia ya kujiweka karibu na watu aliokuwa akiishi nao pindi akiwa na maisha ya chini na anaamini kuwa wanawake na mtaa huo ndio waliomlea tangu akiwa mtoto na kwa kiasi flani waliona alivyokwa akisota.
Daimond akiwa anaingia mtaani kwao.
Diamond akigawa mkono wa Eid.
Wananchi katia mtaa huo wamefurahi na kutoa shukran nyingi kwa Diamond na familia yake huku wengi wakimuombea kuzidi kufanikiwa zaidi ili kuendelea kuwakumbuka.