Diamond na mamake walivyowasili Uganda kwasababu ya mazishi ya mamake Zari (Video)

Diamond Platnumz tayari amewasili nchini Uganda kumfariji mkewe Zari Hassan ambaye alimpoteza mamake mzazi Alhamisi asubuhi.

Mamake Zari – Halima Hassan aliaga dunia akiwa anapata matibabu katika Nakasero Hospital jijini Kampala. Mwendazake alifariki kutokana na maradhi ya moyo.

download latest music    

Staa huyu wa wasafi alisafiri Uganda na mamake Sanura Sandra Kassim na meneja wake Babu Tale. Tazama video hapo chini uone jinsi Diamond aliwasili Uganda.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere