Diamond ni Kama Taifa Stars :-Afande Sele

msani wa muziki mkongwe kutoka Morogoro Afande sele amefunguka na kusema kuwa amekuwa aiumisana anapoona kuwa msanii mkubwa na mwenye mafanikio kama Diamond platinumz anakuwa akitukanwa na kudhalishwa katika mitandao ya kijamii,

Akiongea na waandishi wa habari, Afande Sele amefunguka na kusema kuwa kwa thamnai aliyonayo Diamond Tanzania ni kama timu ya taifa inapokuwa inawakilisha nchini hivyo kwake yeye anapoona watu wanamuandama Diamond anakuwa  anaumia sana.

download latest music    

Afande sele anasema “Diamond ni kama taifa stars, akitukanwa mimi anaumia sana ”

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.