Diamond ni Mfanyabiashara na Alikiba ni Bidhaa.:- AT

Msanii wa bongo fleva kutoka Zanzibar amefunguka na kusema kuwa watu hawapaswi kuwafananisha wasanii hawa wawili yaani Alikiba na Diamond Platinmz kwa sababu kila mmoja ana nafasi yake katika soko la muziki na jinsi anavyoonekana kwa mashabiki wake.

AT anasema kuwa kitu kikubwa wanatakiwa kujua ni kwamba Alikiba amemzidi Diamond vitu vingi sana na kwamba Alikiba amekuwa akifanya kazi lakini tayari ameshajitangaza sana hivyo hana haja ya kufanya matangazo kwa ajili ya kazi zake bali zinauzika zeneywe tofauti na Diamond ambae yeye ni mfanya biashara.

download latest music    

Akiongea katika radio moja alipokuwa katika mahojiano alisema “Diamond bado haja mfikia Alikiba, Diamond ni mfanya biashara na Alikiba ni bidhaa”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.