Diamond ni Mtu Mwenye Damu ya Kipekee:-Ricardo Momo

Meneja wa msani Harmonizie kutoka katika kundi la wasafi anaejulikana kama Ricadro momo amefunguka na kusema kuwa watu wamekuwa wakimsema na kumfikiria diamond vibaya bila kujua undani wake, kwa upande wake anasema kuwa wao wanaoishi na Diamond wanajua ukweli wa diamond ni mtu wa aina gani.

Momo anasema kuwa anaweza kumuelezea Diamond kama mtu wa kipekee sana mwenye kuogopa sana Mungu  na anaamini kuwa Diamond ataiona Pepo.

download latest music    

Diamond ni mtu mwenye damu ya kipekee sana, ana imani sanaa,sijui kama mwenyezi mungu ataweza kumnyima pepo kweli sijui.

Akiongelea kuhusu post yoyote anayoweka katika ukurasa wake wa instagram , Ricardo momo anasema kuwa anapoweka kitu katika ukurasa wake hamlengi mtu yoyote zaidi ya wale wanaomfollow tu.

kwa upande wangu huwa siandiki kitu kwa ajili ya kumu-atack mtu kwaio hata kama nimepost sijamwambia mavoko.linakuwa linamuhusu mtu yoyote anayenifollow mimi katika instagram.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.