Diamond Platnumz Apata Ajali Ya Gari Nchini Marekani

Staa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz alipata ajali siku chache zilizopita alipokuwa nchini Marekani alipoenda kufanya shoo.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond alisema alipata ajali hiyo alipokuwa anatoka kwenye shoo yake usiku wa manane.

download latest music    

Dah Tumepata ajali na kunusurika kufa usiku wa leo wakati tunatoka kwenye show….ila Mwenyez Mungu ametupa nafasi nyingine tena ya kuishi na kuendelea kushikana mkono na vijana wenzangu mtaani kwa pamoja tuziokoe familia zetu duni??….”.

Diamond alipata ajali siku chache zilizopita nchini Marekani alipoenda kufanya shoo ya tour yake ya   ‘A boy from Tandale’ Lakini haraka aliweka wazi kuwa hajaumia.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.