Diamond Platnumz asema haya kuhusu muziki wa Bongo

Ikiwa umekuwa ukijiuliza kuhusu muziki Wa bongo unaendelea wapi, basi Diamond Platnumz amejibu swali lako. Msanii huyu wa nyimbo za Bongo Fleva, amefunguka kusema kuwa nyimbo za kibongo zimekua na hii ni kutokana na bidii za wasanii kutoka bongo.

Diamond Platnumz alisema kuwa muziki Wa bongo Fleva wetu umeweza kufika sehemu mingi huku akiongeza kuwa tu si muziki bali pia mbuvi. Akizungumza na Bongo 5, Diamond Platnumz alisema,

download latest music    

“Muziki wetu unazidi kukua kwa kwa sababu mpaka Watu wa nje wanakuja kufanya kitu nyumbani lazima tasnia yetu iwe imekua, kwa hiyo tasnia yetu imekua sio tu kwa Wasanii hata Industry nzima Vyombo vya Habari, Wadau kila mtu anayehusika na burudani, tumepiga hatua“

Tazama mahojiano yake na Bongo 5.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua