Diamond, Victor Wanyama wamtakia AY heri ya siku ya kuzaliwa

Rapa Ambwene Allen Yessayah maarufu kama AY anasherekea siku ya kuzaliwa kwake leo Julai 2017. AY amefikisha miaka 36 leo.

Mastaa wengi wamemtakia AY heri ya siku ya kuzaliwa kwake, rafiki wake wa karibu Victor Wanyama alikua miongoni mwa wale waliomtumia jumbe mapema.

download latest music    
AY na Victor Wanyama

“Happy bday big boss @aytanzania have a good one bro,” Victor Wanyama aliandika.

Diamond na Rayvanny pia walimtumia AY jumbe:

“Big Birthday wish to Msoja wange @jahprayzah and my Legend Brother @aytanzania …. Long Life!!” Diamond Platnumz

“HAPPY BIRTHDAY KAKA LAO @aytanzania Mungu Akupe maisha marefu yenye Mafanikio zaidi,” Rayvanny

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere