Diva Ajifananisha na Mange Kimambi,Asema ni Mwanamke Mwenye Nguvu ya Ushawishi.

Mtangazaji wa kipindi cha ala za roho cha Clouds Radio kipindi pendwa kwa vijana Diva the bawse, amefunguka na kuelezea mapenzi makubwa aliyonayo kwa mwanaharakati anaevuma katika mitandao ya kijamii Mange Kimambi na kusema kuwa ni mwanadada mjasiri na mwenye nguvu kubwa ya ushawishi.Diva amesema kuwa mange kimbambi ni moja ya wanawake wenye akili za kipekee na mwenye  uthubutu wa kusema kile ambacho kina kuwa katika akili yake kwa kipindi hicho.

                                                                   

download latest music    

                                            mwanadada Diva the Bawse wa Clouds Radio.

Akiongea katika mahojiano na moja ya waandishi wanaofanya mahojiano na wasanii katika mtandao, Diva aliulizwa ni kitu gani kikubwa amekuwa akikipenda kwa Mange Kimambi ndipo alipofunguka na kusema haya .

Nampenda , yupo kama mimi,ana akili yake ya pekee yake tu kitu anachokiwaza kwenye akili yake ndicho anachokuwa anakisema kwa wakati huo.She is the most powerful womani in tanzania,unapozungumzia influencer she is number one kwakweli .Kila ukiamka asubui uwezi kuacha kuangalia amepost nini leo.She is like a sister to me,ana mambo mengi n pia anastyle yake ya kuandika stori zake kiasi kwamba anakuvutia kuendelea kuzisoma tu.

Mange kimambi ni moja ya wanawake wachache wenye wafuasi weni sana katika mtandao wa kijami hasa instagram kutokana kuwa mtoaji wa habari nyingi Tanznaia ingawa yeye mwenyewe haishi tanzania.amekuwa akiwahamasihsha watu wengi juu ya mambo mengi ingawa kwa sas hivi amejikita sana katika siasa.kKna mambo mengine ameuwa akiyatolea ufafanuzi na kuwafumbua watu juu ya mambo hayo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.