Diva Awananga Wanaume Aliowahi Kuwa Nao Kwenye Mahusiano

Mtangazaji wa Clouds Fm Loveness Malinzi maarufu kama Diva amewarushia madongo wanaume ambao amewahi kuwa nao Kwenye Mahusiano ya kimapenzi siku za nyuma.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diva amedaiwa wanaume wote aliokuwa nao Kwenye Mahusiano walipata umaarufu Kupitia Jina lake na sasa baada ya kuwaacha hawana kitu tena;

download latest music    

Wanaume wote niliowahi kuwa nao ni watu waliopata sana jina katika tasnia kwa kutumia jina la Diva kama mpenzi wao lakini baada ya kuwaacha Keisha habari yao hawana jipya hamna anayewaongelea hawana tena so called kiki tena so who made them famous”.

Lakini pia Diva aliendelea kujitapa kuwa ana nyota ya umaarufu ndio maana wanaume wote aliowahi kuwa nao walipata umaarufu Kupitia na yeye:

Mimi ndio niliwapa unaarufu hai watu ndio ujue watu na nyota zetu, Love me or hate me Ima star and I always shine…dear exes mshakuwa underground anzeni Tena hamjachelewa ila ndio hivyo pambaneni na hali zenu “.

Lakini Diva aliendelea kuwapa makavu na kuwa kuwataka wamuheshimu maana lawama jina mjini na walijulikana kwa sababu yake Ilan sasahivi kawaacha wanamiss kuandikwa.

Diva ameshawahi kuwa Kwenye Mahusiano na watu kadhaa maarufu kama vile Msanii mkongwe wa Bongo fleva Crazy GK, Heri Muziki, MO Racka na Mwanasiasa

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.