Diva:Siwezi ku-date na Bongo Movies Hawajui Kingereza

Mwanadada mtangazaji wa Clouds Tv asieishiwa na vituko kila siku kutokana na mambo anayoyafanya Diva the Bawse amefunguka na kuongelea mahusiano yake alipokuwa akiongea na televisheni moja online na kusema kuwa kamwe hawezi kuthubutu kutoka kimapenzi na wasanii wa bongo movies.

Akiongea na Jonij0, Diva aliulizwa kama anaweza kudate na msanii wa bongo movie  na kama anaweza amtaje mmoja ambae angeweza kudate nae ndio alipojibu kamwe hawezi kufanya hivyo.

download latest music    

siwezi hata mara moj kwa sababu bongo movies hawajui kingereza,siwezi hata kwa fimbo.napenda sana mwanaume mwenye akili hata kidogo anaejua kingerza.but am sorry guys.

Diva aliendelea kusema kuwa kwa upande wake sasa yupo single kwaio hana mpango wa kuzaa kwa sababu bado anaugulia maumivu a mtoto wake aliyefariki hivi karibuni , baada ya mimba yake kutoka akiwa katika mahusiano na msanii wa bongo fleva Heri Muziki.

mtoto wa kwanza bado namuwaza sana , huyo akinitoka nitawaza kuzaa tena nakwa sasa nipo single lakini nilikuwa napenda sana mwanaume ambae ni  sperm donor tu,

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.