Dkt.Kikwete Aliniambia Nioe, Umri Umefika :-Diamond

Msanii mkubwa Tanzania na Duniani kwa ujumla amefunguka na kuelezea kwa undani juu ya mkutano wake aliokutana na mheshimiwa Jakaya Kikwete wiki iliyopita mabapo picha nyingi sana zilisambaa katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha akiwa na kiongozi huyo.

Hata hivyo Diamond anasema kuwa kabla ya kwenda kumuona , aliongea nae kwenye simu na kumtaka wakutana ili kumpa pole kutokana na ajali aliyokuwa ameipata akiwa sumbawanga.

download latest music    

nilipokuwa Mwanza , niliambiwa kuwa amekuwa akinitafuta hivyo niliamua kumpiga na kuongea nae, aliniliuza kama kweli nimedondoka na nikamuelezea jinis situation ilivyokuwa na kwa sababu hakutukuwa tumeonana siku nyingi sana nikamwambia kuwa nikirudi dar ntakuja kukuona baba.

nilivyorudi nikaenda kuonana nae na aliniambia mambo mengi lakini alisema nioe muda wa kuoa umefika sasa, kuna clip moja  aliona tulikuwa tunahesabu ela na tanasha akaniambia kuwa sio vizuri kuna watu hawana hata riziki kwaio wakiona wanakuwa wanajisikia vibaya.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.