Dogo Janja Amkingia Kifua Uwoya Baada Ya Sakata La Picha

Dogo Janja ameibuka na kumkingia kifua mke wake staa wa Bongo movie Irene Uwoya baada ya picha ya utupu kusambaa mtandaoni.

Wiki iliyopita Irene alizua gumzo Mtandaoni na kusababisha watu kadhaa kutokwa na povu baada ya picha yake iliyomuonyesha maungo  yake ya ndani kusambaa mtandaoni.

download latest music    

Dogo Janja aliingizwa Kwenye sakata hilo na kusema kuwa haoewi heshima yoyote na mkewe kwani kitendo hiko cha mkewe kukaa uchi kimemdhalilisha.

Dogo Janja ameibuka na kudai si kweli mke wake alikuwa uchi kama inavyoelezwa bali ni vazi la kawaida kwa maeneo ya ufukweni, pia mke wake ni staa hivyo mambo kama hayo ni kawaida kutokana na kufuatiliwa na mapaparazi.

Irene kuvaa vile kwanza alikuwa ufukweni, Irene ni staa popote anapokuwa lazima kuwe na kamera, paparazi hawakosi, kwa hiyo popote wanapoenda paparazi kwao ni content, so alikuwa pale beach kabiga picha kavaa nguo hakuwa uchi”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.