Dogo Janja Amponda Bilnass na Style Yake ya Nywele.

Msanii kutoka Arusha Dogo Janja amemtupia msanii mwenzake Billnass,  Dongo baada ya msanii huyo kuonekana akiwa na style mpya ya nywele akiwa ametengeneza dread, style ambayo wasanii weng ka sasa wamekuwa wakiweka kichwani.

Dogo Janja amefunguka na kusema kuwa style hiyo haijampndeza kabisa msanii mwenzake huyo na kumwambia kuwa  hata waliupokutana katika After school bash wikiend iliyopita hakumtambua mara moja kwa sababu ya  upya huo.

download latest music    

Dogo janja amefunguka na kumwambia kuwa msanii mwenzake huyo hajapendeza kabisa na kuamua kubadili style hiyo.

Wasanii hasa wa kiume kwa sasa wengi wamekuwa wakivutiwa na kutengeneza nywele style ya nywele ndefu yaan dread , ingawa wengi hupendelea kusuka lakini  sio kichwa kizima, vado haijafahamika kama dogo janja alikuwa akitania kuhusu swala hili au lakwa sababu wawili hao ni marafiki pia.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.