Dogo Janja Asema Hana Bifu na Young Killer Wala Young Dee.

msanii wa bongo fleva dogo janja amefunguka na kukanusha tetesi zinazosambaa kuwa yeye na wasanii wenzanke young dee na young killer wamekuwa na kutokuwa na maelwano ya muda mrefu kitu ambacho sio cha kweli hata kidogo.

Dogo janja ameyaongea hayo alipokuwa katika kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa na EATV.

download latest music    

Sijawahi kuwa na ugomvi na msanii yoyote hapa nchi kwa sababu mimi ninapita katika njia yangu na wao sio njia ya mtu mwingine yoyote.kwaio watu wanaamua kufanya hivyo  na kuweka ule u-young lakini hakuna ukweli owowte kuhus sisi kuwa na ugomvi.

Upande wetu siis nje ya muziki tunayo maisha yet tofauti kabisa,kwaio huwa tunakutana na tunafanya tunayoyafanya kwa  amani tunakutana sana na huwa tunataniana sana na hawaniwezi mimi kwa matani na wao wanajua hilo.

Hata hivyo Dogo janja amefunguka na kusema kuwa hakuna changamoto anayoipata katika swala la muziki kwa sababu wenzake wamekuwa waki-ra na yeye akiimba hivyo hakuna changamoto.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.