Dogo Janja Asipoachana na Irene Uwoya Ataishia Kufa- Mo Music

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Mo Music ameibuka na kumpa ushauri Dogo Janja na kumtaka kuachana na Mke wake staa wa Bongo movie Irene Uwoya.

Sio Siri ndoa ya Irene Uwoya na Dogo Janja imetengenwza sana headlines siku za hivi Karibuni ambapo imekuwa ikisemekana Dogo Janja kapokonywa Mke na vigogo wenye pesa zao wanaoweza kumlea mtoto mzuri kama Irene.

download latest music    

Tetesi hizi zimepelekea Dogo Janja kuonekana kama mtu mwenye msongo wa mawazo kiasi ya kwamba kuonekana kwa Mwanasaiokolojia siku chache zilizopita.

Kwenye mahojiano na kipindi cha Enews cha EATV, Mo Music ameibuka na kumshauri msanii mwenzake kuachana na Uwoya kwani asipofabya hivyo anamtabiria kukutana na Kifo mbeleni.

Unajua vitu vingine watu wanajitakia wenyewe ningekuwa mimi ndio Dogo Janja nisingejiingiza kule kwa sababu ingawa wanaweza mapenzi sio umri lakini Hizi nyingine zinakuja kama laana angeatakiwa kuwa na mtu wa umri wake lakini sahivi ni kama vile pressure inamuendesha kuwa na mtu kama yule.

Nimesikia tetesi kama hawaishi wote nyumba moja sasa ndio ndoa gani hiyo lakini mimi kama kaka yake namshauri ajitulize na atulize akili ajue jinsi ya kucheza na familia yake lakini akiendelea huvyo hivyo ataendelea kuugua kupata presha mwisho wa siku Kifo kabisa”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.