Dogo Janja Ataja Ngoma Ambayo Haikubali Kutoka Kwa Madee

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Abdul Chande maarufu kama Dogo Janja amefunguka na kuanika jina la ngoma kutoka kwa Msanii mwenzake Madee Ali.

Dogo Janja ameitaja ngoma ya Madee ‘Hip Hop haiuzi’ kama moja ya nyimbo za Msanii huyo ambazo hajawahi kuzikubali kabisa.

download latest music    

Kwenye mahojiano na Kipindi cha Kwetu Flavor cha Magic Fm Dogo Janja ametaja ngoma ya Madee ‘Hip Hop Haiuzi’ kama wimbo ambao hakupendezwa nao kabisa pindi ulipotoka.

Kipindi hiyo unatoka nipo chuga, nachana sana na masela. Nikaona huyo vipi, masela wanasema huyu waki labda hasije chuga, tutamfanyia kitu mbaya”.

’Hip Hop haiuzi’ ni nyimbo ya Madee ambayo ilizua gumzo sana miaka ya nyuma ambapo wasanii wenzake ambao wanafanya muziki wa Hop Hop walimjia juu MAdee baada ya kuuponda muziki wao wa hip hop.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.