Dogo Janja Atoa Sababu ya Kutobadili Jina Lake.

Msanii dogo janja amefumguka na kusema kwa pamoja na kwamba kwa sasa ameshakuwa na watu wamkuwa wakisema kuwa jina hilo halistahilitena kutokana na ukweli kuwa umri wake umeshakuwa , yeye anakataa na kusema kuwa hawezi kubadili jina hilo kwa sababu tayari hiyo ni brand na hawezi kuipoteza kwa sababu ameifanyia kazi kwa muda mrefu sana.

kama tukiangalia kwa nchi nyingi  duniani , wasanii wanakuwa na viunganishi vya majina ambavyo baada ya umri flani kuviondoa kwa sababu vinakuwa tayari havipaswi kutumika kutokana na umri wake na ndivyo inawezekana ilitakiwa kwa dogo janja kutokana na neno DOGO haliendani tena na umri wake sasa.

download latest music    

Dogo janja anasema ‘mimi ni forever young, dogo janja ni brand ambayo ilitengenezwa kwa miaka 9 sasa kwaio kwangu ni biashara ukiachana na udogo au ukubwa wangu.kwaio hiyo ni biashara ambayo inajitegemea.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.