Dogo Janja Na Uwoya Kupata Mtoto Mwakani

Ikiwa jana ni siku ya kuzaliwa kwa mwanadada mrembo Irene Uwoya ambae ni mke halali wa ndoa wa msanii wa muziki Dogo Janja, aliamua kumuandikia kumtakia kheri katika siku hiyo ya kuzaliwa , lakini pia Dogo Janja alitumia fursa hiyo kutangaza kuwa wawili hao mwakani wanategemea kuwa wazazi. Hii inaweza kuwa ni moja ya njia ya Dogo Janja kutuambia kuwa Irene sasa ni mjamzito ukizingatia wametoka kufunga ndoa hivi karibuni.

Akianza n kumshukuru kwa jinsi alivyoweza kubadilisha maisha yake tangu alipokutana nae,dogo jnaja aliandika kuwa watu watambue kuwa mwakani wanatgema kuwa wazazi.

download latest music    

umebadilisha maisha yangu kutoka nanii kwenda nanii.umenifanya nacheka muda wote hata nikiw ausingizini.wewe ni mke wangu wa kwanzana mke wangu wa mwisho.tuipeleke Dunia kwenye mwangaza wa ajabu na tuwamulike wasioamini kuwa sisi ni wazazi mwakani,wengi wameoana ila sisi tumefunga ndoa.happy birthday mke wangu….#MrsAbdul

Mapema November mwaka huu Dogo Janja na Irene Uwoya walifuga ndoa ambayo iliibua maswali na maneno mengi kutoka kwa watu mbalimbali huku kigezo kikubwa ikiwa ni umri wa  Dogo Janja.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.