Dude Azunguzmia Ushindi wa Wema Sinema Zetu

Msanii mkongwe wa bongo movie Kulwa Kikumba maarufu kama Dude amezungumza hisia zake kuhusu wasanii mbalimbali waliopata mnafasi ya kushinda tuzo za sinema zetu wikiend iliyopita hasa kwa upande wa Wema sepetu ambae watu wengi walikuwa wakilalamika kuwa inawezekana msanii huyo atakuwa amependele wa sana na kuachwa kwa baadhi ya wasanii.

Hata hivyo baada ya Wema kushinda tuzo hizo aliweza kupata kampuni ambayo ameingia nayo mkataba na kuweza kumuuzia filamu yake ya Heaven sent ambayo  imempa tuzo.

download latest music    

Dude anasema kuwa ushindi wa mwema umetokana na kura nyingi alizozipata kutoka kwa mashbiki ambao wamekuwa wakimuna tu kwa vile alivyo bila kuangalia kama kuna kitu anaweza ndani ya sanaa, na pia walikuwa wakimpigai kwa sababu ya kumsikia tu lakini hawakuangalia ubora wa kazi zake.

Mpoki alishawahi kushinda  award za kili kwa kategoria ya muzii wa asili na kumshinda wanne star na Mrisho Wpoto na hiyo ndio faida ya  kura za mashabiki, na hapo ndio kweny tatizo.sikatai wema kushinda lakini  tatioz linakuja kwa waandaaji wa tuzo za nje  wanweza  kumsikia wema ameshinda nchini wakampeleka kule  atafeli maan ni ukweli ulio wazi kwamba Wema hawezi kuwazidi wengine kama wakina Riyama.–Aliongea dude alipokuwa akizungumza na AMANI.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.