Dudu Baya Aongea na Chid

Msanii Dudu baya amefunguka na kumpa ushauri msanii mwenzake Chid Benz kuwa aache kuendelea  kutumia madawa ya kulevya kwa sababu hayatampeleka kokote zaidi ya kumsababishia kifo kama ilivyowahi kuwasababisia kifo baadhi ya watu aliowahi kuwaona na kuwajua.

Dudu Baya abasema kuwa kwa moyo wake mmoja inabidi chid akatae kutumia dawa za kulevya la siovyo hakuna atakae weza kusaidia zaidi ya kujisaidia yeye mwenyewe.Dudu baya ansema kuwa aanatakiwa kwanza kuogopa kifo ambacho aliwahi kukishuhudia kwa wenzake na ndipo amua kuachana nayo kwa sababu hakuna anayeweza kusaidia hali yake kama atotaka kuanza mwenyewe.

download latest music    

Namshauri Chid benz aache madawa ya kulevya na kinachoniuma ni kwamba aliwahi kushuhudia kabisa kifo cha rafiki yake mangweah lakii bado haoni kama iyo ni hatari, kuna langa pia alishakufa na yeye pia aliwashuhusia watu hao, hakuna mtu anayeweza kusaidia hata kama ni rais magufuli kama yeye mwenyewe na moyo wake haujataka kufanya hivyo. inabidi kwanza akatae kutumia madawa ya kulevya ndipo atarud kwenye level zake.Akiendelea na staili hii wakati tanzania tuna ardhi kubwa , tunachimba tunazika tu.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.