Dudubaya Amwagia Povu Zito Mwanaye Wille

Msanii mkongwe wa Bongo fleva aliyewahi kutamba na vibao vyake kama vile Nakupenda, ameweka wazi kuwa yeye na mwanaye Willy bado hawana maelewano mazuri.

Kama utakumbuka miaka ya nyuma Dudubaya ameshawahi sana kumuimba mwanaye Wille katika nyimbo mbali mbali na hata ameonekana kwenye baadhi ya video zake.

download latest music    

Lakini tangu hapo Dudubaya na mwanaye Wille ambaye sasahivi amekuwa na ana miaka kumi na nane wamekuwa wakikosa maelewano hasa kwa sababu aliacha shule na kuingia kwenye muziki mwaka jana.

Lakini hivi sasa Dudubaya amefunguka Kwenye mahojiano na Clouds Tv na kuweka wazi kutofurahishwa na kitendo cha mwanaye kutoa wimbo bila hata kumshirikisha.

Mimi ni mwanamuziki, yeye ni mwanamuziki na mimi ni baba yake hajawahi kunisikilizisha ngoma ina maana kawasilizisha baba zake wengine.

Kwa hiyo mama yake yeye ndio anajua baba zake wengine ndio maana kawasikilizisha wale, hajaja kuniimbia mimi hata freestyle”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.