Dully Sykes atoa siri yake ya muziki wake kufanya vyema

Msanii wa Bongo Dully Sykes ni mmoja wa wasanii ambao wanaendelea kufanya vizuri kwenye muziki ilhali ya wasanii wengi wenye sauti nzuri kujitokeza.

Dully Sykes ameweza kuachia nyimbo kwa miaka mingi sasa na bado nyota yake inang’aa. Akizungumza kwenye mahojiano na Bongo5 katika tamasha la Heshima ya Bongo Flava, Dully alifunguka kusema huyo kuwa yeye kuwepo katika mzuki kipindi hiki chote hicho ni kwa sababu anawaelewa wanachotaka mashabiki na pia yeye kujitambua kama msanii….alisema,

download latest music    

“Mimi najitunza najielewa kama msanii, kutengeneza status yako na kujitambua, wasanii wengi hawajitambui. Mimi ninajitambua na ninajua mimi ni nani,”

Mkali huyu ‘Yono’ anaendelea kutisha kupitia nyimbo zake na collabos anazozifanya na wasanii wakubwa kama Harmonize na wengine Bongo.

Tazama interview yake hapa:

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua