Duma Afichua Siri ya Watu Kujaa Katika Uzinduzi wa Nipe Changu.

Msanii wa bongo movie David Michael amefunguka na kusema kuwa sababu kubwa ya yeye kujaza watu wengi katika uzinduzi wa filamu yake mpya ya Nipe changu uliofanyika wikiendi iliyopita ni kutokana na nguvu kubwa alizopewa na mwenyezi mungu na wala sio uchawi kama watu wanavyosema katika mitandao ya kijamii.

Akiongeana EATV, Duma anasema kuwa Mungu amempa kipaji na nguvyu na wala sio kama minongono inayoendelea kuwa watu waliojaa Mlimani City Jumamosi ilikuwa ni utumiajiwa nguvu za giza alizotumia duma katika filamu iyokupata umaarufu.

download latest music    

Mimi kujaza watu huu ni ufalme na nguvu nilizopewa na mwenyezi Mungu, huu ni ufalme niliyopewa na mwenyezi Mungu na wala sio mimi, watu hawa wamekuja kwa mapenzi yao kwa DumaHakuna uchawi unaotumika kwangu bali ni kufanya kazi tu.

Lakini pia Duma anasema kuwa kupitiakazi hiyo ambayo yeye anaamini kuwaitafanya bizuri itawanyamazisha wale waliokuwa wanaongea kuwa hajui kazi.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.