Dynamic afunguka kuhusu mchango wa Barakah The Prince kwa maisha yake

Msanii Hamadi Abdulhemed maarufu kama Dynamic amefunguka na kusema kuwa Barakah The Prince amemsaidia sana katika muziki na hata shoo anazofanya.

Dynamic alimsifu sana Barakah The Prince kwa mchango wake, alisema pia Barakah hana kujiskia kwingi kama watu wengi wanavyosema.

download latest music    

“Nimeshapanda na Barakah kwenye shoo kubwa mbili, sijui kwa wengine labda wanaoona anajisikia kwangu hayupo hivyo. Ni mtu poa sana na nimekuwa nikishirikiana naye mara kwa mara kwenye muziki,” Dynamic alisema akiongea na Over Ze Weekend.

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere