Ebitoke Akataa Kusema Kilichomtoa Timamu

Mchekeshaji Ebitoke amejikuta kwenye wakati mgumu mara baada ya kupokea lawama nyingi kutoka kwa mashabiki wake kufuatia hatua yake ya kujiondoa kwenye kundi la Timamu.

Licha ya kuandamwa huko, Ebitoke amewaeleza kamwe hatoweza kuwaambia sababu iliyopelekea kujitoa kwenye kundi la Timamu.

download latest music    

Mashabiki wangu mnataka niwafanyie nini ili mridhike maana mmekuwa na Maneno kibao. Mnataka kujua sababu iliyonitoa Timamu?,” .”Itabaki kuwa siri yangu tu na muhusika na sitamani mkaijuia maana ,mtanionea huruma. Punguzeni ukali wa maneno maana hakuna anayependa kuambiwa mabaya kila siku” ameeleza.

Ebitoke alijizolea umaarufu mkubwa ndani ya kundi la Timamu akiwa na wachekeshaji wengine kama Mkaliwenu, Bwana Mjeshi, Mamaa Ashura, kwa sasa Ebitoke ameondoka kwenye kundi hilo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.