Elizabeth Lulu awajibu wanaomsema kuwa ni mfupi

Muigizaji wa filamu za Bongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewajibu wanaomnanga kwenye mitandaoni ya kijamii kwasababu ya ufupi wake.

Staa huyo amewataka wakosoaji wake waache kujadili ufupi wake ambao sasa umekuwa mada mara kwa mara mitandaoni.

download latest music    

Lulu alijitetea kwa kusema wakosoaji wake wanafaa wampime kwa akili zake maana yeye harefuki mwili ila anarefuka kiakili.

“Niwaulize tu wanamuoanaje Lulu wa miaka ile na Lulu wa sasa? Mimi sina haja ya kukua umbo halafu akili ikawa ndogo, nakua kiakili hivyo hata nikiwa na umbo hilihili miaka yote sioni tatizo,” alisema Lulu.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere