Emoji ya Alikiba Yazua Matusi Mtandaoni.

Ikiwa zimepita siku kadhaaa tabfu msanii wa muziki wa kizazi kipya alikiba kusema kuwa hawezi kuweka picha ya marehemu katika ukurasa wake wa Instagram kwa sababu dini yake hairuhusu na watu kum-judge sana kuwa hakuna dini inayokataza kitu kama hicho .

Baada ya kutokea kwa msiba wa mtoto wa Muna, watu wengi waliweka icha za kijana huyo katika ukurasa zao za instagram lakini Alikiba nae alikuwa mmoja kati ya walioguswa na msiba ingawa kwake imekuwa tofauti kidogo kutokana na picha aliyoitumia kufikisha ujumbe wake wa huzuni katika ukurasa wake.

download latest music    

Baada ya kuweka emoji hiyo  nasio picha ya patrick watu walianza kumshushia matusi msanii huyo huku wakisema kuwa hakukuwa na haja ya yye kuweka emoji wakati picha za mtoto huyo zipo na pia hakuna haja ya kwa sababu kuweka emoji hakumaanishi chochote.

baadhi ya maoni ya mashabiki zake wakimponda kwa kufanya hivyo inasema ‘Ali ulikosea sana uliposema dini yako inakataza kupost marehemu wakati kuna mengi dini yako inakataza lakini bado unayafanya.”

wewe Alikiba una dharau sana na ndio mana sikupendi sasa hilo limdoli linamaanisha nini sasa mfyuuu, R.I.P

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.