Esma Amkana Tanasha , Asema Hajatambulishwa.

Dada wa msanii Diamond Platinumz amefunguka na kukanusha kauli yake aliyowahikusema hapo awali kuhusu kumpenda wifi yake  mpya tanasha ambae ndie anakwenda kuwa  kuolewa  mwaka 2019 na msanii huyo.

Hapo awali mwanadada huyo alisema kuwa anampenda sna wiifi yake na wanamkaribisha katika familia yao lakini ghafla mwanadada huyo amegeuka na kusema  kuwa hamjui kabisa mwanadada huyo na kwamba  mwanadada huyo hajatambulishwa kwao hivyo hawezi kusema chochote.

download latest music    

Esma anasema kuwa hajawahi kutambulishwa zaidi ya kumjua kutoka instagram , kwa hivyo wala hajui kitu na yeye anaona ni kama msinema tu.

Alipoulizwa kuhusu ni kitu gani anaenjoy kutoka kwa wifi yake Tanasha majibu ya Esma yalikuwa “ndugu yangu sina hata ninachoenjoy kutka kwa tanasha,kwa sababu simjui na yeye hanijui wala  kwaio tumekuwa tukionana tu huku instagram, lakini ukinuliza wala sijui chochote.bado hatujatambulishwa rasmi na sisi tunaona sinema kama nyinnyi mnavyoona tu.”

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.