Esma Atangaza Kuwa Single, Yuko Tayari Kuolewa Tena.

Dada wa msanii Diamond Platinumz amefunguka na kutangaza kuwa single tangu hapo awali alipotangaa kuwa yeye na aliyekuwa mume wake petit man wameachan na kushindwa kuendelea kukaa katika ndoa yao.

Akiongea na waandishi wa habari alipokuwa akiingia katika ukumbi ilipofanyika birthday party ya mwanadada Wema Sepetu, Esma  amesema kuwa ni kweli ka sasa yuko single na ikitokea kuna mtu anataka kumuoa yuko tayari kwa sasa.

download latest music    

Hata hivyo, kuna tetesi zilizokuwa zikisambaa kuwa duka la vitenge na vipodozi la Esma alifunguliwa na mume wake huyo , kuhusu swala hilo Esma amaekanusha vikali swala hilo na kusema kuwa ni uongo.

Esma na Petiti walifunga ndoa miaka michache iliyopita na kufanikiwa kupata mtoto mmoja, hata hivyo wawili hao wanaachana baaada ya mwanaume kuonekena kuwa na skendo nyingi za wanawake.

hata hivyo esma alipoulizwa swala la kurudiana na Petit alisema kuwa hajui kama anaweza kurudiana na petit kwa sasa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.