Ester Kiama Amtamani Sana Jokate
Mwanadada Ester Kiama amefunguka na kusema kuwa amekuwa akitamani sana kufanya kazi anayofanya Jokate sasa hivi tangu alipoteuliwa na mh Rais kwa sababu amekuwa moja ya viongozi wa kike vijana wenye mafanikio sana kwa kile wanachokifanya katika jamii.
Ester Kiama nasema kuwa kwa sasa Jokate amekuwa moja ya watu anaowaangalia sana kama role model wake na anatamani sana siku moja kuwa kama jokate.
unajua nimekuwa nikitamani sana kuwa kama mkuu wa wilaya flani hivi ingawa pia najua sio kazi rahisi, kwakweli na jkate ndio amekuwa akinifanya nitamani sana kuwa hivyo, navutiwa na utendaji kazi wake lakini pia anavyinyuka zile suti, na mimi nimesahaanza kumuiga katika uvaaji.
Jokate ni moja ya wanadada wanaotamaniwa sana na wasanii wengine wengi kutokana na umaridadi wake katika kazi lakini pia ni kiongozi kijana ambae hajaacha afashion nyuma.