Ester Kufunga Siku 40 Kuombea mtoto.

Mwanadada Ester Kiama amefunguka na kusema kuwa kwa kipindi hiki cha mfungo wa kwaresma amekuwa akifunga siku zote 40 huku hitaji lake kubwa ikiwa ni kuombea kupata mtoto hasa mtoto wa kike.

kipindi hiki cha mwezi wa kwaresma ambao wakristo wengi wamekuwa wakifungwa kwa ajili ya kuheshimu mateso ya yesu kristo na kufunga hili kuomba mahitaji yao kukamilika amesema kuwa amejitahidi sana kufungwa kwa sababu anaona kabisa kwa sasa anahitaji kupata mtoto na ameamua kumshirikisha mungu kwa sababu anajua kuwa hakuna kinachoshindikana kwa hilo.

download latest music    

Katika kipindi hiki cha kwaresma, nimeamua kufunga huku ombi langu kubwa ikiwa na kumuomba mungu anijalie niweze kupata mtoto wa kike maana ndio hitaji la moyo wangu na ndio maana nimejitahidi kufunga siku zote kuanzia mwanzo mpaka mwisho

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.