Faiza Achukizwa na Ukaribu wa Mwanae na Mama wa Kambo.

Mwanadada Faiza Ally ameonekana kukwaza na ukaribu alionao mtoto wake wa kwanza wa kike na mke wa  baba wa mtoto huyo.

Faiza Ambae hapo awali aliwahi kutuma ujumb kwa baba wa mtoto kupitia ukurasa wake wa instagram akitaka mtoto huyo aawahi kurid kutokana na kufungua shule aliwafanya baadhi ya watu kumtolea mapovu kutokana na matatizo ya misba aliyokuwa nayo baba wa mtoto wake baada ya kufiwa na mama yake mzazi.

download latest music    

Hata hivyo kuna picha zimekuwa zikisambaa za mtoto wake na mama huyo ambae ni mke wa sugu , picha ambazo zimemkera sana faiza na kumtolea povu mwanamke huyo huku akimuonya kuacha ukaribu na mtoto wake na kumwambia kama anataka mtoto basi atafute wake.

koma kupiga picha na mwanangu zaa wako….baba sasha naomba mkataze mtu mwenye sura mbaya kutafuta kiki kupitia mtoto wangu…unachotaka ni kumtengansha sasg=ha na baba yake na sasa umefanikiwa, sasa mataishia kuona picha tu zake tu insta..

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.