Faiza Adai Gabo ni King’asti Kwani Alimtafutia Jimama La Kumlea

Muigizaji wa Bongo movie Faiza Ally amefunguka mazito na kudai kuwa msanii mwenzake Gabo ni king’asti na hata kudai alimtafutia mwanamke mwenye hela ili amlee.

Bifu la Faiza na Gabo lilianza siku za nyuma baada ya kuigiza movie moja ambayo haijatoka mpaka leo ambapo Faiza ameonyesha kumlaumu Gabo na kudai amemtapeli.

download latest music    

Kwenye mahojiano na Kiss Fm Radio Faiza amefunguka na kukataa tetesi za yeye kuwahi kuwa Kwenye Mahusiano na Gabo na kuweka wazi kuwa Gabo alikuwa King’asti wa rafiki yake:

Ukweli ni kwamba Gabo alikuwa king’asti nilimpa  rafiki yangu anaitwa Karima yaani mtu ambaye nilimpa kazi na nikampa na demu ambaye ana hela”.

Faiza amedai mwanamke huyo ambaye alimpa Gabo ni mwanamama wa kizungu ambaye alivutiwa naye baada ya kumuona Gabo na mara moja wakaanzisha mahusiano na kudai kuwa Gabo amehongwa sana.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.