Faiza Ally Amtolea Povu Zito Gabo Adai Amechelewesha Mafanikio Yake

Msanii wa Bongo movie Faiza Ally amemtolea povu zito staa wa Bongo movie Gabo na kudai amemfelisha na kumkosesha kupata mafanikio aliyoyategemea.

Siku ya Jumapili kwenye Tuzo za Sinema Zetu International Film Festival (SZIFF) Gabo aliibuka kidedea na tuzo tatu ikiwemo msanii bora wa kiume  na kupelekea watu kadhaa kumpongeza huku wengi wakisema amestahili ushindi Ule.

download latest music    

Lakini Faiza amejitokeza na kumpongeza Gabo Lakini pia amemtolea povu zito huku akimtuhumu kwa kumfanyia dhuluma ambayo imemfanya apoteze hela na jitihada zake kurudi nyuma na kushindwa kupata mafanikio.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Faiza amemtolea povu zito sana Gabo:

 

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.